us

Slider Top

[5][true]slider-top-big][Slider Top]
You are here: Home / , , , TrickFree : Vodacom Tanzania Exceed the Download Limit

TrickFree : Vodacom Tanzania Exceed the Download Limit

| No comment

Nimepata wazo  ,baada ya kununua bando la mwezi mzima la vodacom ambalo ni unlimited ( Si unlimited kweli, natania Baada ya GB5 speed inashuka hapa kwangu from 1Mb/s mpaka 40kb/s kama normal speed mpaka mwezi mzima uishe) -Ok Nisikuchoshe kuna trick rahisi ya kuondoa iyo limit ambayo wameweka wao, na iyo trick ni temporary but DAMN IT WORKS ,na nimeigundua mda si mrefu , baada ya kujiunga Cheka Jero,Namaanisha ile wanayokupa dk 15 sms, sijui ngapi na MB 8 )

Sasa kuna file lina MB 50, nilikua nashusha, na formula ya voda wanaanza kula MB 8 za cheka cha maajabu speed haikushuka, to 40Kb/s  baada ya kuishiwa MB8 za ChekaJero bali ilibaki juu kwa sababu nina Subscription ya mwezi ya internet ambayo Ishaisha speed (baada yakutumia GB5)

 ::::::: naamanisha ningekua nashusha  Files zenye 8GB ingewezekana kushuka kwa average speed ya 500KB/s up to700Kb/s kufuatana na location yangu
(sio tena speed ya konokono 40kb/s) , maana bado nina connection ya net ya mwezi mmoja,

:::::::: Hapo nimewaelewa vodacom wanapomaanisha #KaziNikwako na ilo ndilo kosa walilokosea ,na limit  utakua umeiweza kwa hizo Mb 8 za cheka  WARNING: Usikate connection wakati unadownload iache.... utaweza shusha(download)  files zako hata kama GB ngapi ,kwa speed ile ile uliyokua unapata kabla yakutumiwa meseji ya kuwa speed itashuka


 #VodacomNimeripotiTatizo
#KablaHamjaritibuNawaoneshaKaziNiKwangu
#MsiniambienayoHiiniCybercrime
#SorryHiiHabariSiwekiTenaHuku
#SoonNatupiaKwenyeBlog
#NajuaWengiHamjanielewa